Mambo ya Walawi 23:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Hata hivyo, siku ya kumi ya mwezi huo wa saba ni Siku ya Kufunika Dhambi.+ Mtakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mnapaswa kujitesa*+ na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto.
27 “Hata hivyo, siku ya kumi ya mwezi huo wa saba ni Siku ya Kufunika Dhambi.+ Mtakuwa na kusanyiko takatifu, nanyi mnapaswa kujitesa*+ na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto.