-
Hesabu 4:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Lakini fanyeni jambo hili ili waendelee kuishi nao wasife kwa sababu ya kukaribia vitu vitakatifu kabisa.+ Haruni na wanawe wataingia humo na kumgawia kila mmoja wao kazi yake na vitu anavyopaswa kubeba. 20 Hawapaswi kuingia hemani na kuona vitu vitakatifu hata kwa muda mfupi, la sivyo watakufa.”+
-