6 Tena, wakachukua mifugo yao na mali zao, walizokuwa wamekusanya katika nchi ya Kanaani.+ Mwishowe wakafika Misri, Yakobo na uzao wake wote pamoja naye.
8 na watu wote wa nyumba ya Yosefu na ndugu zake na nyumba ya baba yake.+ Waliacha tu katika nchi ya Gosheni watoto wao wadogo na makundi yao na mifugo yao.
26 Na mifugo yetu pia itaenda pamoja nasi.+ Hakuna hata ukwato utakaoruhusiwa kubaki, kwa sababu ni kutoka kati yao kwamba tutachukua baadhi yao ili kumwabudu Yehova Mungu wetu,+ nasi wenyewe hatujui tutakachotoa katika ibada kwa Yehova mpaka tufike huko.”+