Kumbukumbu la Torati 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Ni lazima uyakazie maneno haya yangu katika moyo wako na nafsi* yako na kuyafunga kama kumbukumbu kwenye mkono wako, nayo yanapaswa kuwa kama utepe kwenye paji la uso wako.*+ Kumbukumbu la Torati Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:18 re 197; w98 6/1 20; fy 70-71 Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:18 Upeo wa Ufunuo, uku. 197 Mnara wa Mlinzi,6/1/1998, uku. 20 Furaha ya Familia, kur. 70-71
18 “Ni lazima uyakazie maneno haya yangu katika moyo wako na nafsi* yako na kuyafunga kama kumbukumbu kwenye mkono wako, nayo yanapaswa kuwa kama utepe kwenye paji la uso wako.*+