Methali 7:1-3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwanangu, shika maneno yangu,Na uzihifadhi amri zangu kama hazina.+ 2 Shika amri zangu uishi;+Linda mafundisho* yangu kama mboni ya jicho lako. 3 Zifunge juu ya vidole vyako;Ziandike kwenye kibao cha moyo wako.+
7 Mwanangu, shika maneno yangu,Na uzihifadhi amri zangu kama hazina.+ 2 Shika amri zangu uishi;+Linda mafundisho* yangu kama mboni ya jicho lako. 3 Zifunge juu ya vidole vyako;Ziandike kwenye kibao cha moyo wako.+