Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+ Isaya 55:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+ Yohana 12:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Pia, ninajua kwamba amri yake inamaanisha uzima wa milele.+ Kwa hiyo, mambo ninayosema, ninasema kama Baba alivyoniambia.”+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+
3 Tegeni sikio na mje kwangu.+ Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+
50 Pia, ninajua kwamba amri yake inamaanisha uzima wa milele.+ Kwa hiyo, mambo ninayosema, ninasema kama Baba alivyoniambia.”+