Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 18:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 5:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Mheshimu baba yako na mama yako,+ kama mimi Yehova Mungu wako nilivyokuamuru, ili uishi muda mrefu na kufanikiwa* katika nchi ambayo mimi Yehova Mungu wako ninakupa.+

  • Isaya 55:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Tegeni sikio na mje kwangu.+

      Sikilizeni, nanyi mtaendelea* kuwa hai,

      Nami nitafanya agano la milele pamoja nanyi bila kusita+

      Kulingana na matendo ya upendo mshikamanifu kwa Daudi, ambayo ni ya uaminifu.*+

  • Yohana 12:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 Pia, ninajua kwamba amri yake inamaanisha uzima wa milele.+ Kwa hiyo, mambo ninayosema, ninasema kama Baba alivyoniambia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki