Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 10:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova* Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi* yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+ 28 Akamwambia: “Umejibu vizuri; endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.”+

  • Waroma 10:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kuwa Musa anaandika hivi kuhusu uadilifu kupitia Sheria: “Mtu anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+

  • Wagalatia 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Sasa Sheria haitegemei imani. Badala yake, “yeyote anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki