Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Yohana 17:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
3 Uzima wa milele ndio huu,+ wakujue wewe,* Mungu wa pekee wa kweli,+ na yule uliyemtuma, Yesu Kristo.+