5 Na itakuwa kwamba Yehova atakapokuwa amekuingiza katika nchi ya Wakanaani na Wahiti na Waamori na Wahivi na Wayebusi,+ ambayo aliwaapia mababu zako kuwa atakupa,+ nchi inayotiririka maziwa na asali,+ ndipo utatoa utumishi huu katika mwezi huu.
8 Tazama, naiweka nchi hiyo mbele yenu. Ingieni mwimiliki nchi ambayo Yehova aliwaapia baba zenu, Abrahamu, Isaka+ na Yakobo,+ kwamba atawapa wao na uzao wao baada yao.’+