8 Nami ninashuka ili kuwakomboa kutoka katika mkono wa Wamisri+ na kuwatoa katika nchi hiyo mpaka kwenye nchi nzuri na kubwa, nchi inayotiririka maziwa na asali,+ kwa Wakanaani na Wahiti na Waamori na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
11 “Wewe kwa upande wako shika ninalokuamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza toka mbele yako Waamori na Wakanaani na Wahiti na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+