17 Na kwa hiyo nasema, Nitawatoa katika mateso+ ya Wamisri na kuwapeleka mpaka nchi ya Wakanaani na Wahiti na Waamori+ na Waperizi na Wahivi na Wayebusi,+ mpaka nchi inayotiririka maziwa na asali.”’+
3 Nawe usikilize, Ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kuzitenda,+ ili mambo yakuendee vema+ nanyi mpate kuwa wengi sana, kama vile ambavyo Yehova Mungu wa mababu zako amekuahidi wewe,+ kuhusu nchi inayotiririka maziwa na asali.