Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Basi Musa akawaambia watu: “Msiogope, kwa sababu Mungu wa kweli amekuja ili kuwatia ninyi katika jaribu,+ na ili kumwogopa yeye, kuendelee kuwa mbele ya nyuso zenu ili ninyi msije mkatenda dhambi.”+

  • Yoshua 24:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na sasa mwogopeni Yehova+ na kumtumikia kwa njia isiyo na kosa na katika kweli,+ nanyi ondoeni miungu ambayo mababu zenu waliitumikia ng’ambo ile nyingine ya Mto na katika Misri,+ mkamtumikie Yehova.

  • Ayubu 28:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye akamwambia mwanadamu,

      ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+

      Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+

  • Zaburi 111:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kumwogopa Yehova ni mwanzo wa hekima.+

      ש [Sin]

      Wale wote wanaoyatenda maagizo yake wana ufahamu mwema.+

      ת [Taw]

      Sifa yake inasimama milele.+

  • Zaburi 128:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 128 Mwenye furaha ni kila mtu anayemwogopa Yehova.+

      Anayetembea katika njia zake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki