Methali 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+ na ujuzi kupendeza nafsi yako,+ 2 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+
3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+