Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ruthu 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wanawake wakaanza kumwambia+ Naomi: “Na abarikiwe Yehova,+ ambaye amehakikisha kwamba mtu wa kukukomboa hakukosekana leo; jina lake na lipate kutangazwa katika Israeli.

  • 1 Samweli 25:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Basi Daudi akasikia kwamba Nabali amekufa, kwa hiyo akasema: “Abarikiwe Yehova, ambaye amefanya kesi+ ya shutuma+ yangu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwa Nabali na ambaye amemzuia mtumishi wake asifanye ubaya,+ na Yehova ameurudisha ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe!”+ Kisha Daudi akatuma watu na kumwambia Abigaili kwamba alipenda kumchukua awe mke wake.+

  • Zaburi 68:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na abarikiwe Yehova, ambaye hutubebea mzigo wetu kila siku,+

      Mungu wa kweli wa wokovu wetu.+ Sela.

  • Luka 1:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki