Luka 1:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Nao majirani na watu wa jamaa yake wakasikia kwamba Yehova alikuwa ameitukuza rehema+ yake kwake, nao wakaanza kushangilia+ pamoja naye. Waroma 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Shangilieni pamoja na watu wanaoshangilia;+ lieni pamoja na watu wanaolia.
58 Nao majirani na watu wa jamaa yake wakasikia kwamba Yehova alikuwa ameitukuza rehema+ yake kwake, nao wakaanza kushangilia+ pamoja naye.