Zaburi 116:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana yeye amenitegea sikio lake,+Nami nitaita siku zangu zote.+ Isaya 37:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno yote ya Senakeribu+ ambayo ametuma ili kumdhihaki Mungu aliye hai.+
17 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno yote ya Senakeribu+ ambayo ametuma ili kumdhihaki Mungu aliye hai.+