Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela. Zaburi 141:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Waovu wataanguka ndani ya nyavu zao wenyewe wote pamoja,+Huku mimi nikipita kando.
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.