Esta 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua. Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Zaburi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mataifa yamezama katika shimo walilolifanya;+Mguu wao wenyewe umekamatwa+ katika wavu+ waliouficha. Zaburi 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Uharibifu na umjie bila yeye kujua,+Na wavu wake mwenyewe aliouficha na umkamate;+Na aanguke ndani yake apatwe na uharibifu.+ Zaburi 37:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Upanga wao wenyewe utaingia katika moyo wao,+Nazo pinde zao zitavunjwa.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.
10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.
15 Mataifa yamezama katika shimo walilolifanya;+Mguu wao wenyewe umekamatwa+ katika wavu+ waliouficha.
8 Uharibifu na umjie bila yeye kujua,+Na wavu wake mwenyewe aliouficha na umkamate;+Na aanguke ndani yake apatwe na uharibifu.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.