Zaburi 46:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Anakomesha vita mpaka kwenye mwisho wa dunia.+Upinde anauvunja na kuukata mkuki vipande-vipande;+Magari ya kukokotwa anayateketeza motoni.+ Zaburi 76:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Huko alivunja mishale ya upinde inayowaka,+Ngao na upanga na vita.+ Sela.
9 Anakomesha vita mpaka kwenye mwisho wa dunia.+Upinde anauvunja na kuukata mkuki vipande-vipande;+Magari ya kukokotwa anayateketeza motoni.+