Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Taabu yake itarudi juu ya kichwa chake mwenyewe,+

      Na jeuri yake mwenyewe itashuka juu ya utosi wa kichwa chake.+

  • Methali 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kwa maana uasi+ wa wasio na uzoefu utawaua wao,+ na kutojali kwa wajinga kutawaangamiza wao.+

  • Mhubiri 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hili ndilo jambo lenye msiba katika yote ambayo yamefanywa chini ya jua, ya kwamba, kwa sababu wote hufikiwa na mwisho uleule,+ moyo wa wana wa binadamu pia umejaa mabaya;+ na kuna wazimu+ mioyoni mwao wakati wa maisha yao, na baada ya hayo—ni kwenda kwa wafu!+

  • Mhubiri 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Anayechimba shimo yeye mwenyewe ataanguka ndani yake;+ naye anayebomoa ukuta wa mawe ataumwa na nyoka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki