33 aliyekuwa akienda mbele yenu njiani ili kupeleleza mahali kwa ajili yenu ili mpige kambi,+ kwa moto wakati wa usiku ili mwione njia mnayopaswa kuitembea na kwa wingu wakati wa mchana.+
19 wewe mwenyewe, katika rehema zako nyingi hukuwaacha+ nyikani. Nguzo ya wingu haikuondoka juu yao wakati wa mchana ili kuwaongoza njiani,+ wala nguzo ya moto haikuondoka juu yao usiku ili kuwaangazia njia wanayopaswa kuipitia.+