Hesabu 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivi ndivyo ilivyokuwa kila siku: Wingu hilo lilifunika hema wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema wakati wa usiku.+
16 Hivi ndivyo ilivyokuwa kila siku: Wingu hilo lilifunika hema wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema wakati wa usiku.+