17 “Wenye kuteseka na maskini wanatafuta maji,+ lakini hakuna yoyote. Ulimi wao umekauka+ kwa sababu ya kiu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitawajibu wao.+ Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha wao.+
11 mateso yangu, masumbufu yangu, namna ya mambo yaliyonipata katika Antiokia,+ katika Ikoniamu,+ katika Listra,+ namna ya mateso ambayo nimevumilia; na bado Bwana alinikomboa mimi kutoka katika hayo yote.+