Zaburi 30:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova Mungu wangu, nilikulilia unisaidie, nawe ukaniponya.+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+ Zaburi 145:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+