Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Abrahamu akaanza kumwomba dua Mungu wa kweli;+ naye Mungu akamponya Abimeleki na mke wake na vijakazi wake, nao wakaanza kuzaa watoto.

  • Kutoka 15:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Naye akasema: “Ikiwa utaisikiliza kwa makini sauti ya Yehova Mungu wako na kufanya lililo sawa machoni pake na kutega sikio usikie amri zake na kushika masharti yake yote,+ sitaweka juu yako yoyote ya magonjwa yale niliyoweka juu ya Wamisri;+ kwa sababu mimi ni Yehova anayekuponya.”+

  • 2 Wafalme 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Rudi, umwambie Hezekia kiongozi+ wa watu wangu, ‘Yehova, Mungu+ wa Daudi babu yako, amesema hivi: “Nimeisikia+ sala+ yako. Nimeyaona machozi+ yako. Tazama, ninakuponya.+ Siku ya tatu utapanda kwenda katika nyumba ya Yehova.+

  • Zaburi 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nionyeshe kibali, Ee Yehova, kwa maana mimi ninafifia.+

      Niponye,+ Ee Yehova, kwa maana mifupa yangu imesumbuka.

  • Zaburi 103:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yeye anayesamehe makosa yako yote,+

      Anayeponya magonjwa yako yote,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki