26 Alisema: “Ikiwa mtaisikiliza kwa makini sauti yangu mimi, Yehova Mungu wenu na kufanya yaliyo sawa machoni pangu na kusikiliza kwa makini amri zangu na kushika masharti yangu yote,+ sitawaletea ugonjwa wowote ambao niliwaletea Wamisri,+ kwa sababu mimi, Yehova, ninawaponya.”+