-
2 Mambo ya Nyakati 18:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
21 Akajibu, ‘Nitaenda na kuwa roho ya udanganyifu katika vinywa vya manabii wake wote.’ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na zaidi ya hilo, utafanikiwa. Nenda ukafanye hivyo.’
-