1 Wafalme 22:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja,+ karibu watu mia nne, akawaambia: “Je, niende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Nao wakaanza kusema: “Panda uende,+ na Yehova atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”
6 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii pamoja,+ karibu watu mia nne, akawaambia: “Je, niende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Nao wakaanza kusema: “Panda uende,+ na Yehova atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”