5 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii+ pamoja, watu mia nne, akawaambia: “Je, twende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?”+ Nao wakaanza kusema: “Panda uende, na Mungu wa kweli atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”
31 Manabii wenyewe kwa kweli wanatoa unabii kwa uwongo;+ nao makuhani wanakandamiza kulingana na nguvu zao.+ Na watu wangu wamependa mambo yawe hivyo;+ nanyi mtafanya nini mwisho wake?”+