2 Samweli 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Absalomu akaendelea kuwafanyia jambo kama hilo Waisraeli wote waliokuwa wakija kwa mfalme ili kuamuliwa; na Absalomu akaendelea kuiba mioyo ya watu wa Israeli.+ Zaburi 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tazama, wewe—wewe umechukia nidhamu,+Nawe unaendelea kuyatupa maneno yangu nyuma yako.+
6 Na Absalomu akaendelea kuwafanyia jambo kama hilo Waisraeli wote waliokuwa wakija kwa mfalme ili kuamuliwa; na Absalomu akaendelea kuiba mioyo ya watu wa Israeli.+