1 Wafalme 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+ Mathayo 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+
19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+
14 Waacheni. Wao ni viongozi vipofu. Basi, ikiwa kipofu anamwongoza kipofu, wote wawili wataanguka ndani ya shimo.”+