18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.
“Yehova—atanguruma kutoka Sayuni,+ naye atatoa sauti yake kutoka Yerusalemu;+ navyo viwanja vya malisho vya wachungaji vitaomboleza, na kilele cha Karmeli kitakauka.”+