Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 na Alameleki na Amadi na Mishali.+ Nao ukafika upande wa magharibi hadi Karmeli+ hadi Shihor-libnathi,

  • 2 Wafalme 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Naye akaendelea kutoka hapo mpaka Mlima Karmeli,+ na kutoka hapo akarudi Samaria.

  • Yeremia 46:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.

  • Amosi 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—atanguruma kutoka Sayuni,+ naye atatoa sauti yake kutoka Yerusalemu;+ navyo viwanja vya malisho vya wachungaji vitaomboleza, na kilele cha Karmeli kitakauka.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki