Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 48:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa maana wamejiita kuwa wametoka katika jiji takatifu,+ nao wamejitegemeza juu ya Mungu wa Israeli,+ Yehova wa majeshi ni jina lake.+

  • Yeremia 44:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Kwa hiyo sikieni neno la Yehova, Yuda wote mnaokaa katika nchi ya Misri,+ ‘ “Tazama, mimi mwenyewe nimeapa kwa jina langu kuu,”+ Yehova amesema, “kwamba jina langu halitakuwa tena kitu cha kuitwa kwa kinywa cha mtu yeyote wa Yuda,+ akisema, ‘Kama anavyoishi Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova!’+ katika nchi yote ya Misri.

  • Yeremia 48:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Moabu ameporwa, na mtu amepanda juu ya majiji yake.+ Na vijana wao walio bora zaidi wameshuka kwenda kuuawa,’+ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi.+

  • Malaki 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Naye amelaaniwa anayetenda kwa ujanja wakati kuna mnyama dume katika kundi lake, naye anaweka nadhiri na kutoa dhabihu ya kilema kwa Yehova.+ Kwa maana mimi ni Mfalme mkuu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “na jina langu litakuwa lenye kuogopesha kati ya mataifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki