Yeremia 46:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,‘Ataingia* kama Tabori+ kati ya milimaNa kama Karmeli+ kando ya bahari.
18 ‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,‘Ataingia* kama Tabori+ kati ya milimaNa kama Karmeli+ kando ya bahari.