Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao.

  • Yoshua 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na mpaka huo ulifika Tabori+ na Shahasuma na Beth-shemeshi, na kufika kwenye Mto Yordani—majiji 16 na vijiji vyake.

  • Waamuzi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Akatuma mjumbe amwite Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: ‘Nenda* katika Mlima Tabori ukiwa na wanaume 10,000 kutoka kabila la Naftali na la Zabuloni.

  • Zaburi 89:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kaskazini na kusini—uliziumba;

      Tabori+ na Hermoni+ hulisifu kwa shangwe jina lako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki