Yoshua 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne+ ilikuwa ya Isakari,+ kwa ajili ya wazao wa Isakari kulingana na koo zao. Yoshua 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na mpaka huo ulifika Tabori+ na Shahasuma na Beth-shemeshi, na kufika kwenye Mto Yordani—majiji 16 na vijiji vyake. Waamuzi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akatuma mjumbe amwite Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: ‘Nenda* katika Mlima Tabori ukiwa na wanaume 10,000 kutoka kabila la Naftali na la Zabuloni. Zaburi 89:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kaskazini na kusini—uliziumba;Tabori+ na Hermoni+ hulisifu kwa shangwe jina lako.
22 Na mpaka huo ulifika Tabori+ na Shahasuma na Beth-shemeshi, na kufika kwenye Mto Yordani—majiji 16 na vijiji vyake.
6 Akatuma mjumbe amwite Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: ‘Nenda* katika Mlima Tabori ukiwa na wanaume 10,000 kutoka kabila la Naftali na la Zabuloni.