19 Na sasa tuma watu, unikusanyie Israeli wote katika Mlima Karmeli+ na pia wale manabii 450 wa Baali+ na wale manabii 400 wa ule mti mtakatifu,+ wanaokula mezani pa Yezebeli.”+
2 Itachanua maua+ bila shaka, nayo itashangilia kwa shangwe na kwa kilio cha furaha.+ Itapewa utukufu wa Lebanoni,+ fahari ya Karmeli+ na ya Sharoni.+ Kutakuwa na wale watakaouona utukufu wa Yehova,+ fahari ya Mungu wetu.+
18 “‘Kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,+ ‘kama Tabori+ kati ya milima na kama Karmeli+ kando ya bahari yeye ataingia.