Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+ 2 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hiyo ndiyo sababu Mungu huacha utendaji wa kosa uwaendee wao, ili wauamini uwongo,+