1 Wafalme 22:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na pigano likazidi kuwa kali siku hiyo, na ikawa lazima kumweka mfalme akiwa amesimama katika gari akiwaelekea Wasiria, na mwishowe akafa+ jioni; na damu ya lile jeraha ikaendelea kumwagika upande wa ndani wa lile gari la vita.+ 2 Mambo ya Nyakati 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na sasa, tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika kinywa cha hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+
35 Na pigano likazidi kuwa kali siku hiyo, na ikawa lazima kumweka mfalme akiwa amesimama katika gari akiwaelekea Wasiria, na mwishowe akafa+ jioni; na damu ya lile jeraha ikaendelea kumwagika upande wa ndani wa lile gari la vita.+
22 Na sasa, tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika kinywa cha hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+