14 Yehova mwenyewe amechanganya katikati yake roho ya mvurugo;+ nao wamesababisha Misri kwenda huku na huku katika kazi yake yote, kama mtu aliyelewa anavyogaagaa katika matapiko yake.+
9 “ ‘Naye nabii, ikiwa atapumbazwa naye hakika aseme neno, mimi mwenyewe, Yehova, nimempumbaza nabii huyo;+ nami nitaunyoosha mkono wangu juu yake na kumwangamiza kutoka katikati ya watu wangu Israeli.+