- 
	                        
            
            Isaya 9:17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        17 Ndiyo sababu Yehova hatashangilia hata juu ya wanaume wao vijana,+ naye hataonyesha rehema juu ya wavulana wao wasio na baba na juu ya wajane wao; kwa sababu wote ni waasi-imani+ na watenda-maovu na kila kinywa kinasema kwa kukosa akili. Kwa sababu ya hayo yote hasira yake haijarudi nyuma, bali mkono wake bado umenyooshwa.+ 
 
-