22 Naye akasema, ‘Nitaenda, nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii+ wake wote.’ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena, utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+
10 Nami nikasema: “Ole wangu, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova! Kwa kweli umewadanganya kabisa watu+ hawa na Yerusalemu, kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’+ na upanga umefika mpaka kwenye nafsi.”