2 Mambo ya Nyakati 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye akasema, ‘Nitaenda nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii wake wote.’+ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+
21 Naye akasema, ‘Nitaenda nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii wake wote.’+ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+