Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Wanayumba-yumba na kwenda huku na huku kama mlevi,+

      Na hata hekima yao yote huvurugika.+

  • Methali 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Divai ni mdhihaki,+ kileo husababisha msukosuko,+ na kila mtu anayepotezwa nacho hana hekima.+

  • Isaya 28:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na hawa pia—kwa sababu ya divai wamepotea na kwa sababu ya kileo wametanga-tanga. Kuhani na nabii+—wamepotea kwa sababu ya kileo, wamevurugika kutokana na divai, wametanga-tanga+ kutokana na kileo; wamepotea katika kuona kwao, wameyumba-yumba kuhusu uamuzi.

  • Yeremia 48:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana ameonyesha majivuno sana juu ya Yehova mwenyewe;+ na Moabu amegaagaa katika matapiko+ yake, naye amekuwa kitu cha kudhihakiwa, yeye mwenyewe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki