Hesabu 23:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+ 1 Wafalme 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na sasa tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika vinywa vya hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+ Ezekieli 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wewe, ikiwa umemwonya mwovu+ naye asigeuke na kuuacha uovu wake na njia yake ya uovu, yeye mwenyewe atakufa kwa sababu ya kosa lake;+ lakini wewe, utakuwa umeiokoa nafsi yako mwenyewe.+
19 Mungu si mwanadamu kwamba aseme uwongo,+Wala si mwana wa binadamu kwamba ajute.+Je, yeye mwenyewe amelisema naye hatalitenda,Na je, yeye amesema naye hatalitimiza?+
23 Na sasa tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika vinywa vya hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+
19 Lakini wewe, ikiwa umemwonya mwovu+ naye asigeuke na kuuacha uovu wake na njia yake ya uovu, yeye mwenyewe atakufa kwa sababu ya kosa lake;+ lakini wewe, utakuwa umeiokoa nafsi yako mwenyewe.+