4 Lakini mimi nikasema: “Nimefanya kazi ya kutaabika bure.+ Nimemaliza nguvu zangu kwa ajili ya jambo lisilo la kweli na la ubatili.+ Kwa kweli hukumu yangu ina Yehova,+ na malipo yangu yana Mungu wangu.”+
5 Na wewe unaendelea kujitafutia makuu.+ Usiendelee kuyatafuta.”’+
“‘Kwa maana, tazama, ninaleta msiba juu ya wote wenye mwili,’+ asema Yehova, ‘nami nitakupa wewe nafsi yako kuwa nyara katika mahali pote utakapoenda.’”+
9 Lakini kwa habari yako wewe, ikiwa kwa kweli utamwonya mwovu aiache njia yake ili ageuke na kuiacha lakini kwa kweli asigeuke na kuiacha njia yake, yeye mwenyewe atakufa katika kosa lake,+ lakini wewe hakika utaiokoa nafsi yako.+
6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+