Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 49:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini mimi nikasema: “Nimefanya kazi ya kutaabika bure.+ Nimemaliza nguvu zangu kwa ajili ya jambo lisilo la kweli na la ubatili.+ Kwa kweli hukumu yangu ina Yehova,+ na malipo yangu yana Mungu wangu.”+

  • Yeremia 45:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wewe unaendelea kujitafutia makuu.+ Usiendelee kuyatafuta.”’+

      “‘Kwa maana, tazama, ninaleta msiba juu ya wote wenye mwili,’+ asema Yehova, ‘nami nitakupa wewe nafsi yako kuwa nyara katika mahali pote utakapoenda.’”+

  • Ezekieli 33:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini kwa habari yako wewe, ikiwa kwa kweli utamwonya mwovu aiache njia yake ili ageuke na kuiacha lakini kwa kweli asigeuke na kuiacha njia yake, yeye mwenyewe atakufa katika kosa lake,+ lakini wewe hakika utaiokoa nafsi yako.+

  • Matendo 18:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini walipoendelea kupinga na kutukana,+ akayakung’uta mavazi+ yake na kuwaambia: “Damu+ yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe. Mimi ni safi.+ Tangu sasa na kuendelea nitaenda kwa watu wa mataifa.”+

  • Matendo 20:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa sababu hiyo ninawaita ninyi kuona ushahidi leo hii kwamba mimi ni safi kutokana na damu+ ya watu wote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki