1 Wafalme 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+
11 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+