Methali 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+ Mika 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “ ‘Je, inasemwa, Ee nyumba ya Yakobo:+ “Roho ya Yehova imekosa kuridhika, au haya ndiyo matendo yake?”+ Je, maneno yangu mwenyewe hayafanyi mema+ kwa yeye anayetembea kwa unyoofu?+
12 Pete ya dhahabu na pambo la dhahabu ya pekee, ndivyo alivyo mkaripiaji mwenye hekima kwenye sikio linalosikia.+
7 “ ‘Je, inasemwa, Ee nyumba ya Yakobo:+ “Roho ya Yehova imekosa kuridhika, au haya ndiyo matendo yake?”+ Je, maneno yangu mwenyewe hayafanyi mema+ kwa yeye anayetembea kwa unyoofu?+