Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Zaburi 33:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana neno la Yehova ni la unyoofu,+Nayo kazi yake yote ni kwa uaminifu.+ Yeremia 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+
7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+