Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria+ ya Yehova ni kamilifu,+ huirudisha nafsi.+

      Kikumbusho+ cha Yehova ni chenye kutegemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana neno la Yehova ni la unyoofu,+

      Nayo kazi yake yote ni kwa uaminifu.+

  • Yeremia 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Maneno yako yalipatikana, nami nikayala;+ na neno lako linakuwa kwangu furaha na kushangilia+ kwa moyo wangu;+ kwa maana jina lako limeitwa juu yangu,+ Ee Yehova Mungu wa majeshi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki