2 Mambo ya Nyakati 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na wapiga-mishale+ wakampiga Mfalme Yosia, hivi kwamba mfalme akawaambia watumishi wake: “Nishusheni, kwa sababu nimeumizwa vibaya sana.”+ Zaburi 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Msiba utamuua mwovu;+Na wale wanaomchukia mwadilifu watahesabiwa kuwa na hatia.+
23 Na wapiga-mishale+ wakampiga Mfalme Yosia, hivi kwamba mfalme akawaambia watumishi wake: “Nishusheni, kwa sababu nimeumizwa vibaya sana.”+