1 Wafalme 18:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+ 1 Wafalme 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Ahabu akamwambia Eliya: “Je, umenipata, ewe adui yangu?”+ naye akasema: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+ Zaburi 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Msiba utamuua mwovu;+Na wale wanaomchukia mwadilifu watahesabiwa kuwa na hatia.+
17 Na ikawa kwamba, mara tu Ahabu alipomwona Eliya, mara moja Ahabu akamwambia: “Je, ni wewe, mtu unayeleta taabu juu ya Israeli?”+
20 Na Ahabu akamwambia Eliya: “Je, umenipata, ewe adui yangu?”+ naye akasema: “Nimekupata. ‘Kwa sababu umejiuza ili kufanya yaliyo mabaya machoni pa Yehova,+